"Tutakula na tulewe."Asema pep
Kocha Wa Manchester city pep Quardiola, akihojiwa baada ya mechi ya klabu bingwa barani uropa dhidi ya Mabosi Wa kiarabu PSG amesema kinachowasubiri baada ya kupewa kichapo cha mbili kavu uwanjani parc de princes, ni kula kunywa wine na kulala kusubiri mitanange ya wikendi.Magoli ya PSG yalifungwa na Idris Gueye na Mchawi Lionel Messi.
Maoni
Chapisha Maoni