Ruka hadi kwenye maudhui makuu

kwanini Greenwood amekosekana kwenye kikosi cha South gate?


23 waitwa kikosini Uingereza.

Beki kati Wa Acmilan Fikayo Tomori ameitwa katika kikosi cha timu ya taifa soka Uingereza maarufu Three lions kuziba pengo la Jacob Harry Maquire ambaye ni majeruhi.Mason Greenwood vilevile amekosekana katika kikosi hicho kitakachojiandaa kupagusana na Andorra na Hungary katika mechi za kufuzu dimba la Dunia mwaka 2022,Qatar.

WALIOKOSA.

Alexander-Arnold

Arnold alicheza mechi ya septemba dhidi ya Andorra na anatarajiwa kukosa mechi ya  Liverpool dhidi ya Manchester City Jumapili ya kwanza octoba,pambano la ligi kuu Uingereza,kwa kuwa na jeraha.

Greenwood

Bamdogo mwenye kumiliki miaka 19, amekosa kikosi baada ya mabosi wa united kusema ni kazi nyingi kwa kinda huyu. Hatua kama hiyo,imeafikiwa na mabosi Wa Borrusia Dortmund kuhusu Jude Bellingham.

Mason Greenwood has been in fine form, but Manchester United requested he was left out of the England squad
Mlinda lango wa Burnley Nick Pope.
Kuitwa kwa askari mango Wa Arsenal Aaron Ramsdel alisafiri na kikosi kilichofika fainali ya  Euro 2020,kumemnyima nafasi pope.

Kikosi
Nahodha wa spurs Harry Kane,Jack Grealish Wa Manchester city na mwenzake Raheem Sterling, Mshika bunduki Bukayo Saka, Jadon Sancho wa united na ole Watkins ni baadhi ya nyota wengine kwenye kikosi cha southgate. 

Mwandishi 
Paulo Mwanaspoti

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maisha ya kutisha ya Eden Hazard.

The Unknown about Pep Quardiola.

Sergio Ramos afichua makubwa kuhusu Mbappe.