Kiungo kati Wa zamani Real Madrid Fernando Gago ametalikiana na mkewe baada ya kufumaniwa akiwa mtupu kitandani na mpango Wa pembeni.
Kwa mujibu Wa taarifa zilizopeperushwa na Cynthia Fernandez Wa Argentine Tv,Mkewe Gago Gisela Dulko mwenye umri Wa 36 alimpata mumewe akila uroda na mwenye shule ya densi Veronica Lafitte na cha aibu zaidi katika kitanda chake.
photo courtesy Ap.
Maoni
Chapisha Maoni