LIGI KUU NCHINI KENYA YAREJEA.
Fkfpl yarejea bila mdhamini.Ligi hii inaandaliwa wakati huu wadhamini walioekeza kiasi kikubwa cha fedha kama vile kampuni za mchezo wa kamari Betking na odibets wakijiondoa.Wadhamini wengine waliosalia ni pamoja na kituo cha kupeperusha matangazo Milele FM na Televisheni ya Star times.Je, vilabu vilivyo na ukata Wa fedha zifanyeje?
Some nice stuff
JibuFuta