Wanachui AFC leopards wameduwaza mashabiki Wa ligi kuu nchini Kenya kwa kuichakaza Tusker united ambao ndio mabingwa Wa tetezi kichapo cha goli moja sifuri.
EDEN HAZARD. FAMILIA. Nyota huyu Wa kimataifa Wa ubelgiji amezaliwa kwao ubelgiji katika familia ya watoto 4 vijana dume wote na baba na mama. Kaka zake ni Ethan,Kylian na Thorgan. Baba na Mama walikuwa wachezaji Wa soka na hivyo kuifanya familia hiyo kuwa ya wanamichezo. Hakuna Dada. Hazard ,Thorgan na kylian walikua kwa pamoja wakipendana kwa kuendesha baiskeli na baba yao kuwabatiza the tripod . Hazard,kylian na Thorgan.Wakiwa wamevalia jezi nambari 10 ufaransa iliyovaliwa na Zidane wakati huo. Familia ya kina Hazard katika picha moja. WAZAZI. Thierry hazard alikuwa kiungo kati mlinzi naye mkewe carine Hazard alikuwa nyota wa kupigiwa mfano. Ba adhi ya vilabu alivyocheza babake Hazard. Stade Brainois Jul 1, 1998 AFC Tubize Jul 1, 1996 AA La Louviere Jul 1, 1991 Marchienne Ass. Jul 1, 1989 Stade Brainois until Jul 1, 1989 Mamake Carine,alicheza katika timu za ligi ya wanawake ubelgiji divisheni ya kwanza. Soma hii : Mamake Hazard alistaafu soka akiwa na...
BORN Ole Gunnar Solskjaer was born in 1973.26th February, in the Coast of Norway. PARENTS . He is a Son to Brita Solskjaer(Mother) and Oivind Solskjaer(father). Ole Gunnar Father, Oivind Solskjaer. FAMILY Ole is married to Silje gunnar. The two have no clear path as to where and hiw they met in the romeo and Juliet stuff, as they have not kept their relationship in limelight. They married in 2004,in a wedding done at Florida. They have three kids. Noah,karna and Elijah. love in one photo. Ole Gunnar with silje his wife. CAREER PATH. Ole at 8yr had trained in wrestling and it the time he gave up and joined football. CLAUNSENGEN He started playing at Clausengen a Local club in Norway his motherland. He scored 31 goal out of 47 of the whole club. This performance triggered former Manchester City defender Age Haraide who was the coach of Molde, a top side in Norway to enroll Ole in his team. ole Gunnar right, watching Molde trainin...
GEORGINA RODRIGUEZ. Georgina ni mwanamitindo na fasheni mwenye umri Wa miaka 27 na ndiye Mpenzi Wa nyota Wa ureno na Manchester United, Christiano Ronaldo, mwenye umri Wa miaka 36 . MAISHA . Kama mwanamitindo wengine tu, Georgina anapenda sherehe na raha. Kuzuru na kuogelea katika bwawa ndogo za maji. Sasa hivi majuzi amelinasa jicho la umma kwa kutokea kwenye picha akiwa amevalia vazi jeupe na mkufu Wa almasi. Picha hizi wanamitandao waliziamkia wengine wakimpongeza kwa umbo lake. Gorgina kwenye picha akionyesha umbo lake. Webp: picha hisani. RONALDO NA MPENZIWE . Je, wameoana? Hapana . Kama wengi walivyoeneza uvumi kwamba wawili hawa wamefunga ndoa,hizo zimesalia kuwa fununu tu.Kwa sasa wamehamia jijini Manchester kutoka Turin baada ya Ronaldo kupata uhamisho Wa United mwaka 2021. Ronaldo na Georgina wakila bata. Picha hisani: webp. Author : mwanamichezoo blog E-mail: michezoh@gmail.com
Maoni
Chapisha Maoni