Wanachui AFC leopards wameduwaza mashabiki Wa ligi kuu nchini Kenya kwa kuichakaza Tusker united ambao ndio mabingwa Wa tetezi kichapo cha goli moja sifuri.
EDEN HAZARD. FAMILIA. Nyota huyu Wa kimataifa Wa ubelgiji amezaliwa kwao ubelgiji katika familia ya watoto 4 vijana dume wote na baba na mama. Kaka zake ni Ethan,Kylian na Thorgan. Baba na Mama walikuwa wachezaji Wa soka na hivyo kuifanya familia hiyo kuwa ya wanamichezo. Hakuna Dada. Hazard ,Thorgan na kylian walikua kwa pamoja wakipendana kwa kuendesha baiskeli na baba yao kuwabatiza the tripod . Hazard,kylian na Thorgan.Wakiwa wamevalia jezi nambari 10 ufaransa iliyovaliwa na Zidane wakati huo. Familia ya kina Hazard katika picha moja. WAZAZI. Thierry hazard alikuwa kiungo kati mlinzi naye mkewe carine Hazard alikuwa nyota wa kupigiwa mfano. Ba adhi ya vilabu alivyocheza babake Hazard. Stade Brainois Jul 1, 1998 AFC Tubize Jul 1, 1996 AA La Louviere Jul 1, 1991 Marchienne Ass. Jul 1, 1989 Stade Brainois until Jul 1, 1989 Mamake Carine,alicheza katika timu za ligi ya wanawake ubelgiji divisheni ya kwanza. Soma hii : Mamake Hazard alistaafu soka akiwa na uja
FAMILY AND NAME. Josep pep Quardiola sala been the full name people know him as "pep". Quardiola was born in Santpedor at 18th the year 1971.He is born in family of four, two sisters and two brothers.Her mothers name is Dolors sala who retired at the age of 61 while as a brick layer and the father is non other than valenti Quardiola. peps father Valenti Quardiola.jpeg. Brother Pere. peres, peps brother.jpeg. Peps brother is a football agent in Europe where many soccer stars fall behind his company signature.e.g Luis Suarez. Sisters. Little is known about Olga and Francesca who are peps sisters. Wife. Pep is married to one wife Cristina Serra. Where did they met? Well the two fall in the trap of life until death do us apart in 2014 after they met in a store at Spain.They wedded in an invite only occasion.They have three kids Marius, Maria and Valentine. Pep Quardiola with family. Wife and kids.jpeg. Fashion . Pep Quardiola if not the be
Hatihati zimekuwepo nyingi kuhusu kusalia kwa winga Wa kifaransa kylian Mbappe katika timu ya PSG. Kabla ya dirisha la usajili kufungwa ,Real Madrid walikuwa karibu kumnasa katika dakika za jioni ila mabosi PSG wakagoma. SHINIKIZO LA MASHABIKI. Labda ukiwasikia wengi wananadi kwamba ni wakati mwafaka Wa Mbappe kuiacha PSG na kuenda kukiwasha laliga,jambo ambalo kwa wengine sio sawa, kwani anacheza nao nyota waliotoka hio laliga ,kina Lionel Messi na Neymar. JIBU. Sasa katika hili beki Sergio Ramos aliyegonga vichwa vya habari baada ya kuiacha Real Madrid na kujiunga na wakwasi hawa Wa Ufaransa Le Champione psg,wamesema haya nikimnukuu" Mbappe ana furaha sana akiwa hapa kinyume na Mashabiki wanavyotarajia.Kila wakati anazungumza na Messi na Neymar,wakijadili namna ya kujenga kikosi bora cha mashambulizi." Ramos huyo kaibua makubwa. Neymar kushoto,kati Mbappe na Messi kulia. Picha: Getty Author: Mwanamichezo blog E-mail: michezoh@gmail.com
Maoni
Chapisha Maoni