MOH DEWJI AACHA UONGOZI SIMBA.
Pigo kwa mashabiki Wa Simba sc Tanzania baada ya Mwenyekiti Wa bodi ya wakurugenzi Mohammed Dewji kuacha wadhifa huo.
Kwenye taarifa Moh amesema anasafiri sana kitu kinachomhangaisha sana katika usimamizi Wa klabu katika upeo huo.
Mojawapo ya picha za Mohammed Dewji akiwa uwanjani katika mechi ya Simba.Picha hisani: Presenter page at Facebook.
Mojawapo ya picha za Mohammed Dewji akiwa uwanjani katika mechi ya Simba.Picha hisani: Presenter page at Facebook.
Maoni
Chapisha Maoni