MOH DEWJI AACHA UONGOZI SIMBA.

Pigo kwa mashabiki Wa Simba sc Tanzania baada ya Mwenyekiti Wa bodi ya wakurugenzi Mohammed Dewji kuacha wadhifa huo.
Kwenye taarifa Moh amesema anasafiri sana kitu kinachomhangaisha sana katika usimamizi Wa klabu katika upeo huo.
Mojawapo ya picha za Mohammed Dewji akiwa uwanjani katika mechi ya Simba.Picha hisani: Presenter page at Facebook.

Moh amemteua naibu wake Salim Abdallah Muhene kuwa mwenyekiti Wa bodies hio.Muhene maarufu kama Try again amekuwa naibu Wa MOH kwa miaka minne.Abdallah Muhene.PICHA hisani: Michezo online Facebook.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Unknown and Shocking about Ole Gunnar Solskjaer.

Maisha ya kutisha ya Eden Hazard.

MAYAKA alivyotua kikosini Harambee stars.