Nyota Wa dunia Lionel Messi amerejea mazoezini hili kuisaidia timu yake kujiandaa kumenyana na Manchester city katika mchezo Wa klabu bingwa barani Afrika katikati mwa Juma.
BORN Ole Gunnar Solskjaer was born in 1973.26th February, in the Coast of Norway. PARENTS . He is a Son to Brita Solskjaer(Mother) and Oivind Solskjaer(father). Ole Gunnar Father, Oivind Solskjaer. FAMILY Ole is married to Silje gunnar. The two have no clear path as to where and hiw they met in the romeo and Juliet stuff, as they have not kept their relationship in limelight. They married in 2004,in a wedding done at Florida. They have three kids. Noah,karna and Elijah. love in one photo. Ole Gunnar with silje his wife. CAREER PATH. Ole at 8yr had trained in wrestling and it the time he gave up and joined football. CLAUNSENGEN He started playing at Clausengen a Local club in Norway his motherland. He scored 31 goal out of 47 of the whole club. This performance triggered former Manchester City defender Age Haraide who was the coach of Molde, a top side in Norway to enroll Ole in his team. ole Gunnar right, watching Molde trainin...
EDEN HAZARD. FAMILIA. Nyota huyu Wa kimataifa Wa ubelgiji amezaliwa kwao ubelgiji katika familia ya watoto 4 vijana dume wote na baba na mama. Kaka zake ni Ethan,Kylian na Thorgan. Baba na Mama walikuwa wachezaji Wa soka na hivyo kuifanya familia hiyo kuwa ya wanamichezo. Hakuna Dada. Hazard ,Thorgan na kylian walikua kwa pamoja wakipendana kwa kuendesha baiskeli na baba yao kuwabatiza the tripod . Hazard,kylian na Thorgan.Wakiwa wamevalia jezi nambari 10 ufaransa iliyovaliwa na Zidane wakati huo. Familia ya kina Hazard katika picha moja. WAZAZI. Thierry hazard alikuwa kiungo kati mlinzi naye mkewe carine Hazard alikuwa nyota wa kupigiwa mfano. Ba adhi ya vilabu alivyocheza babake Hazard. Stade Brainois Jul 1, 1998 AFC Tubize Jul 1, 1996 AA La Louviere Jul 1, 1991 Marchienne Ass. Jul 1, 1989 Stade Brainois until Jul 1, 1989 Mamake Carine,alicheza katika timu za ligi ya wanawake ubelgiji divisheni ya kwanza. Soma hii : Mamake Hazard alistaafu soka akiwa na...
Mengi hayajulikani kumhusu kiungo mpya katika timu ya soka taifa la Kenya Harambee stars, Philip Mayaka aliyeitwa kikosini na kocha Engine Firat,kwa ajili ya kuwavaa Mali ugenini na Uganda katika Mechi za kutafuta nauli ya kushiriki katika mipapurano ya dimba la dunia mwaka 2022 Nchini Qatar. MAISHA YA SOKA. Maya ka alipata umaarufu katika shule ya upili st. Anthony kitale katika michezo ya soka la shule za upili yaliyofadhiliwa na cocacola wakati huo. Mayaka alipoondoka Kenya alielekea zake marekani,alikocheza ndani ya mfumo Wa College ,ambapo timu zinashoriki ligi ya America USL usaka wachezaji. Sasa ana timu ya Colorado springs . Mayaka akiwa uwanjani akiitumikia Colorado. Picha:jpg KUITWA KATIKA KIKOSI CHA TAIFA . Akizungumza na wanadijitali wanaosimamia ukurasa wa shirikisho alisema haya nikimnukuu" Sikujua kama naweza kuitwa katika kikosi cha Harambee stars, kwani nacheza katika ligi ya marekani Usl ambayo haina umaarufu.Nilifahamishwa na aliyekuwa mwalimu wan...
Maoni
Chapisha Maoni