LIVERPOOL KILELENI
Liverpool inaongoza jedwali licha ya kuandikisha sare ya magoli matatu kwa matatu dhidi ya Brentford huku Mohammed Salah nyota kutoka taifa la Misri akifikisha magoli mia moja mwenye ligi akiwa na wekundu Wa An field. Manchester city ni ya pili wakikazana alama na Chelsea na Manchester united wore alama 13.
Maoni
Chapisha Maoni