LIVERPOOL KILELENI

Liverpool inaongoza jedwali licha ya kuandikisha sare ya magoli matatu kwa matatu dhidi ya Brentford huku Mohammed Salah nyota kutoka taifa la  Misri akifikisha magoli mia moja mwenye ligi akiwa na wekundu Wa An field. Manchester city ni ya pili wakikazana alama na Chelsea na Manchester united wore alama 13.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Maisha ya kutisha ya Eden Hazard.

Unknown and Shocking about Ole Gunnar Solskjaer.

Mpenzi Wa Ronaldo aonyesha umbo lake hadharani.