"Hatucheki kabla mechi........." muller atoa siri za Bayern kushinda
Mshambulizi matata wa Bayern Munich,Mjerumani Thomas Muller lisema "hatucheki na mpinzani kabla mechi,tunacheka ikikamilika ,ila uenda matokeo yakawa magumu kwake akakosa kucheka". Muller akizungumza baada ya mechi dhidi ya Dynamo Kiev mtanange Wa klabu bingwa.wachezaji Wa Bayern Munich katika uwanja Wa Allianz Arena. Picha: Getty images.
Maoni
Chapisha Maoni