"Lazima tuwamalize..."klopp asema.
Kocha Wa Liverpool Jurgen klopp amesema lazima wawatuange Manchester city katika mechi ya ligi kuu nchini uingereza Leo tarehe 3 mwezi Wa 10.
Klopp alikuwa anazungumza na kituo kimoja barani ulaya cha habari za michezo
Mwandishi.
Mwanamichezo blog.
E-mail: michezoh@gmail.com
Maoni
Chapisha Maoni