Machapisho

SHERIA KUMI MPYA ZA XAVI BARCELONA.

Picha
Ndio,,,, ametua . Nyota Wa zamani Wa Barcelona Xavi Hernandez amerejea katika uga Wa Campnou kama kocha. Xavi anatua baada ya mchezaji mwingine Wa zamani Ronald Koeman kuonyeshwa mlango. Kocha Wa Barcelona Hernandez Xavi. Picha hisani ukurasa Wa Barcelona kwenye Facebook. Sheria za Xavi. Tuachane na kutua kwake sababu sio kusudi la mwandishi kuandika makala haya. Sasa huyu bwana katua na sheria zake hatari ambazo alihoji kwamba zitarejesha maana ya Campnou. 1.Wachezaji kufika uwanjani katika shughuli za mazoezi, dakika 90. Wachezaji Wa Barcelona, Samuel umtiti beki na Marc Ander Testegen mlindalango wakiwa kwenye mazoezi. Picha hisani : ukurasa Wa Barcelona kwenye Facebook. 2 Maafisa na benchi la kiufundi kufika mapema pia. 3 –Wachezaji wote lazima wale chakula chao katika uwanja Wa mazoezi.  4 – Faini zimerejea. Ukifanya kosa kwa kuvunja kanuni na utaratibu Wa klabu unatozwa faini. 5 – Faini kutozwa mara mbili ukirudia kosa.  Kama wewe i

Unkwown and shocking about Thomas Tuchel.

Picha
The Chelsea boss is mostly known for struggling Real madrid at the semi finals of uefa champions leaque 2019 -2020 season and beating down the master Pep Quardiola with his Manchester city to clinch the tittle.  Tuchel unkwown . Childhood nickname  :  TT was nicknamed The professor  been born on 29. 8 .1973 by mother Gabriele tuchel a house keeper and his father a former football coach Rudolf tuchel. Place of birth is krumbach, Bavaria in Germany. His father taught him how to kick a soccer ball. First team: it was a local team which his  father was the coach in 1979 ,TSV Krumbach as a midfielder. SHOCKING Tuchel wanted to study and become a helicopter rescue pilot. In 1998 tuchel went on a successful trial on FC Augsburg at the age of 19 and while graduating to the senior team he released by the club. Thomas Tuchel as an Augsburg player. Stuttgater gave tuchel a senior career in their club.In 1993 -94 season the club released Tuchel. He went to SSV Ulm where he got a cartil

Unknown and Shocking about Ole Gunnar Solskjaer.

Picha
BORN Ole Gunnar Solskjaer was born in  1973.26th February, in the Coast of Norway.  PARENTS . He is a Son to Brita Solskjaer(Mother) and Oivind Solskjaer(father). Ole Gunnar Father, Oivind Solskjaer. FAMILY Ole is married to Silje gunnar. The two have no clear path as to where and hiw they met in  the romeo and Juliet stuff,  as they have not kept their relationship in limelight. They married in 2004,in a wedding done at Florida. They have three kids. Noah,karna and Elijah. love in one photo. Ole Gunnar with silje his wife. CAREER PATH. Ole at 8yr had trained in wrestling and it the time he gave up and joined football. CLAUNSENGEN He started playing at Clausengen a Local club in Norway his motherland. He scored 31 goal out of 47 of the whole club. This performance triggered former Manchester City defender Age Haraide who was the coach of Molde, a top side in Norway to enroll Ole in his team. ole Gunnar right, watching Molde training with age Haraide

The Unknown about Pep Quardiola.

Picha
FAMILY AND NAME. Josep pep Quardiola sala been the full name people know him as "pep". Quardiola was born in Santpedor at 18th the year 1971.He is born in family of four, two sisters and two brothers.Her mothers name is Dolors sala who retired at the age of 61 while as a brick layer and the father is non other than valenti Quardiola. peps father Valenti Quardiola.jpeg. Brother Pere. peres, peps brother.jpeg. Peps brother is a football agent in Europe where many soccer stars fall behind his company signature.e.g Luis Suarez. Sisters. Little is known about Olga and Francesca who are peps sisters. Wife. Pep is married to one  wife Cristina Serra.   Where did they met?  Well the two fall in the trap of life until death do us apart in 2014 after they met in a store at Spain.They wedded in an invite only occasion.They have three kids Marius, Maria and Valentine. Pep Quardiola with family. Wife and kids.jpeg. Fashion . Pep Quardiola if not the be

Maisha ya kutisha ya Eden Hazard.

Picha
EDEN HAZARD. FAMILIA. Nyota huyu Wa kimataifa Wa ubelgiji amezaliwa kwao ubelgiji katika familia ya watoto 4 vijana dume wote na baba na mama. Kaka zake ni Ethan,Kylian na Thorgan. Baba na Mama walikuwa wachezaji Wa soka na hivyo kuifanya familia hiyo kuwa ya wanamichezo. Hakuna Dada. Hazard ,Thorgan na kylian walikua kwa pamoja wakipendana kwa kuendesha baiskeli na baba yao kuwabatiza the tripod . Hazard,kylian na Thorgan.Wakiwa wamevalia jezi nambari 10 ufaransa iliyovaliwa na Zidane wakati huo. Familia ya kina Hazard katika picha moja. WAZAZI. Thierry hazard alikuwa kiungo kati mlinzi naye mkewe carine Hazard alikuwa nyota wa kupigiwa mfano.  Ba adhi ya vilabu alivyocheza babake Hazard. Stade Brainois Jul 1, 1998 AFC Tubize Jul 1, 1996 AA La Louviere Jul 1, 1991 Marchienne Ass. Jul 1, 1989 Stade Brainois until Jul 1, 1989 Mamake Carine,alicheza katika timu za ligi ya wanawake ubelgiji divisheni ya kwanza. Soma hii : Mamake Hazard alistaafu soka akiwa na uja

Mpenzi Wa Ronaldo aonyesha umbo lake hadharani.

Picha
GEORGINA RODRIGUEZ. Georgina ni mwanamitindo na fasheni mwenye umri Wa miaka 27 na ndiye Mpenzi Wa nyota Wa ureno na Manchester United, Christiano Ronaldo, mwenye umri Wa miaka 36 . MAISHA . Kama mwanamitindo wengine tu, Georgina anapenda sherehe na raha. Kuzuru na kuogelea katika bwawa ndogo za maji. Sasa hivi majuzi amelinasa jicho la umma kwa kutokea kwenye picha akiwa amevalia vazi jeupe na mkufu Wa almasi. Picha hizi wanamitandao waliziamkia wengine wakimpongeza kwa umbo lake. Gorgina kwenye picha akionyesha umbo lake. Webp: picha hisani. RONALDO NA MPENZIWE . Je, wameoana? Hapana . Kama wengi walivyoeneza uvumi kwamba wawili hawa wamefunga ndoa,hizo zimesalia kuwa fununu tu.Kwa sasa wamehamia jijini Manchester kutoka Turin baada ya Ronaldo kupata uhamisho Wa United mwaka 2021. Ronaldo na Georgina wakila bata. Picha hisani: webp. Author : mwanamichezoo blog E-mail: michezoh@gmail.com

"Alinibikiri nikiwa na umri Wa miaka 16,"asema Mkeo Tyson Fury.

Picha
BONDIA TYSON FURY NA USHINDI. Wengi Wa walevi Wa mchezo Wa masumbwi au dondi na kuongeza utukutu ukisema ngumi,wananadi jina tu Tyson Fury kwa kuwa sasa mkanda Wa WBO upo mkononi mwake,baada ya kumparakasa Dentoy wilder katika pambano la tatu mfululizo. Fury alikuwa ameshiriki mapambano 40 ambapo alikuwa ameshinda 39 na kutoa sare moja kabla ya hili lake na Dentoy wilder,ambalo lilikuwa la tatu . Fury ameshinda katika pambano ambalo Lilikuwa lenye historia yake, maana ushindi Wa Fury unaamanisha ni trilogy ya kwanza ndani ya miaka 20 ya masumbwi na pili amemcharaza bondia mwenye ngumi nzito zaidi ya mkono Wa kulia. Pambano hilo lilipiganwa siku ya jumapili tarehe 10/10/21. Je,Fury ana Mke ? Jibu ni Ndio. PARIS MULROY FURY . Mzaliwa huyu Wa Doncaster ndiye anayemlisha Fury vya tumbo na vya ndani hili kupata nguvu za kuwapanguza wapinzani kama vibonzo. MAISHA . Fury na Paris walikutana katika Arusi ya kifamilia mwaka 2004,Paris akiwa na miaka 15. Kwa sababu Paris hangeruhusiwa