SHERIA KUMI MPYA ZA XAVI BARCELONA.
2 Maafisa na benchi la kiufundi kufika mapema pia.
3 –Wachezaji wote lazima wale chakula chao katika uwanja Wa mazoezi.
4 – Faini zimerejea.
Ukifanya kosa kwa kuvunja kanuni na utaratibu Wa klabu unatozwa faini.
5 – Faini kutozwa mara mbili ukirudia kosa.
Kama wewe in mhuni sana,ukirejelea hill kosa, adhabu ya pili itakuwahi.
6 – Kabla ya masaa 48 kuelekea mechi kama mchezaji hufai kuwa nje usiku sana.
7 – Wachezaji kujitolea kuitumikia timu ipasavyo.
8 – Mienendo nje ya uwanja kufuatiliwa.
Benchi la kiufundi litafuatilia kwa ukaribu kila mchezaji na tabia zake . Hili uenda likawatia hatarini watukutu kama kina Ousmane Ndembele .
9 –Wachezaji kupigwa marufuku kujihusisha na vitu hatari.
Wachezaji watapigwa marufuku kujihusha na maeneo hatari na shughuli hatari kwa afya yao,nje na ndani ya uwanja.
10 – Picha ya Timu.
Maarufu baji ya klabu kitakuwa kitu cha wachezaji kuzingatia,wanapoingia uwanjani na mazoezini.
Xavi.Baji ya Barcelona.Mwandishi :mwanamichezoo.blogspot.com
E-mail: Michezoh@gmail.com
FACEBOOKMwanamichezoo
Maoni
Chapisha Maoni