LEO MICHEZONI

Uenda klabu cha arsenal  kikakumbwa na matatizo hii Leo katika mchezo wao dhidi ya rapid Wien katika kampeni za kombe LA ligi bara uropa. Hii ni baada ya ujumbe Wa kiungo Wa kati mjerumani mesut ozil akikashifu kuachwa kwake nje ya kikosi .Baadhi ya wachezaji Wa timu hii wameonekana kupendezwa na ujumbe wake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Unknown and Shocking about Ole Gunnar Solskjaer.

Maisha ya kutisha ya Eden Hazard.

MAYAKA alivyotua kikosini Harambee stars.